Meneja Masoko wa Kampuni ya Bia ya Serengeti Allan Chonjo akitangaza washindi wa droo ya kwanza ya Winda Safari ya Brazili na Serengeti inayoendeshwa na kampuni hiyo nchini kote, kushoto kwake ni Meneja wa bia ya Serengeti Rodney Rugambo, na kulia kwake ni Afisa Mwandamizi kutoka PWC Bwana Tumain iliyofanyika mapema leo jijini Dar es Salaaam.
 Meneja Masoko wa Kampuni ya Bia  Serengeti Allan Chonjo akiongea kwa njia ya sinu na moja wa washindi wa droo ya kwanza ya Winda Safari ya Brazili na Serengeti iliyochezeshwa mapema leo jijini Dar es Salaam kulia ni Meneja wa bia ya Serengeti Rodney Rugambo.  Ambapo washindi wawili wamejishindia 'Samsung tablets' ambao ni  Mwl. John Yesaya(49) kutoka mkoani Kilimanjaro na  Salehe Mohamed(25) kutoka jijini Dar es Salaam.
  Meneja wa bia ya Serengeti Rodney Rugambo(kulia)akizungumza na wana habari(hawapo pichani)katika droo ya kwanza ya Winda Safari ya Brazili na Serengeti, jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...