Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Sidhani kama ni kweli, wananchi wanalishatoa maoni yao ndio maana ya kuwa na rasim kabda ya katiba yenyewe. Wewe wakilisha wananchi wako waliotoa maoni yao mule. Hii nayo ndio sababu ya kuzolotesha mawazo yaliyozungumzwa na Rais. Fanya kazi kama umechaguliwa pale.

    ReplyDelete
  2. Dr Slaa, ninakuheshimu sana, na najua una viwango vya juu vya kuelewa, na kueleza pia.
    Sisi tulokuwa nje ya hilo jengo pia tumemsikiliza Mhe. Rais, na tunajiuliza mbona lazima umlaumu tuuu?
    Kumbe wewe unataka Rais atunge Katiba, na wala siyo Bunge la Katiba? Sawa, wananchi bado tutapiga kura, na ndiyo umiliki wetu wa hiyo Katiba. Taabu yako wewe Mheshimiwa wangu Dr. Slaa ni kwamba unaongozwa na ile falsafa ya Mao Tse Tung: Oppose what your 'enemy' supports, and support what your 'enemy' opposses. Kwa taarifa yako, JK wala siyo adui yako, ni Rais wako.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...