JD's Entertainment inakwambia kama una mume au mke na unampenda sana, kama una girlfriend au boyfriend na mnapendana kweli na kama uko na rafiki na uko tayari kwa chochote juu yake na atakama uko single lakini moyo wako umejaa mapenzi lakini ujuwi wapi paku yapeleka:basi karibu sana isumba lounge (jollies club). Wapendanao watazungumza,  hadithi na safari za maisha yetu ya kimapenzi zitasikika,ni  valentine hii ya tarehe 14/02/2014 pale pale isumba lounge zamani jollies. Kiingilio ni 10000, karibu tusherehekee mapenzi kwanii LOVE IS GONNA BE IN THE AIR

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...