Mke wa Rais na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi anayewakilisha Wilaya ya Lindi Mjini Mama Salma Kikwete akimnadi Mgombea wa Udiwani wa Kata ya Kiwalala kupitia CCM, Bwana Shineni Hamis Zahoro wakati wa sherehe za miaka 37 ya Chama Cha Mapinduzi zilizofanyika kimkoa katika kijiji cha Kiwalala terehe 1.2.2014.
.
 Mama Kikwete akimwaga sera za CCM
 Kicheko
 Ngoma ya Tambiko inayochezwa na wananchi wa kabila la wamakonde nayo ilikuwa ni kivutio tosha wakati wa sherehe za uzinduzi wa miaka 37 ya Chama Cha Mapinduzi zilizofanyika kimkoa  kwenye kata ya Kiwalala, Lindi Vijijini tarehe 1.2.2014.
Mke wa Rais na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi ,Mama Salma Kikwete akiteta jambo na Mlezi wa Chama Cha Mapinduzi  Mkoa wa Lindi Dr.Maua Daftari (katikati) huku Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya ya Lindi Vijijini akisikiliza wakati wa uzinduzi rasmi wa kumbukumbu ya kutimiza miaka 37 ya Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Lindi zilizofanyika katika Kata ya Kiwalala iliyoko Lindi Vijijini tarehe 1.2.2014. Picha na John Lukuiwi. Kwa habari kamili na picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...