Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. KATIBA NI YETU; KILA KITU KIWE WAZI HAPO MASAA ISHIRINI NA NNE. HAKUNA KUFICHA FICHA. UNAMFICHA MMILIKI SASA HII NI KIBOKO! KATIBA NI MALI YA KILA ANAYEISHI KATIKA ARDHI YA NCHI HII; SASA UNATAKA KUZUNGUMZA KWA FARAGHA FARAGHA YA NNE TENA WAKATI NI KATIBA YANGU.

    FARAGHA TUNAYOIJUA NI MAMBO YA MTU BINAFSI NA SI VINGINEVYO.

    ReplyDelete
  2. Dada naomba upokee hongera zangu kwa kazi nzuri, umeweka "standard" kama watu wamekuja na agenda za ubabe, wajue kabisa hapo si mahala pake! Na tunaomba wanahabari watuhabarishe, tujue kabisaa 2015 ni nani tunampatia kura yetu. Waamshe hao wenye mawazo mgando kama alivyosema Prof. Ruth jana. Kama bunge litakuwa changamfu namna hii, hata wale wanaosinzia hawatapa huo muda. Mwisho nikuombe ujaze form za kugombea ubunge, kura yangu unayo.

    Mdau Canada

    ReplyDelete
  3. huyu mama nilimsikia kaongea point tupu chonde chonde rais wangu mpendwa kura ya.siri peke yake ndio democrasia wakikuzidi nguvu kura ya wazi kuna wajumbe wataogopa kutokana na vyama vyao mheshimiwa rais tukija tukapata katiba nzuri nakutabiria tunzo zile kubwa kubwa duniani zote utachukua na.rais mstaafu bora bora wa africa utachukua ww

    ReplyDelete
  4. Dada yangu Umetisha sanaaaa...Aisee umeshusha darasa safi sana, kuna watu humo ndani ni mashabiki tu hawajui siasa. Dada yangu umetisha. BIG UP TEAM #changetanzania.

    ReplyDelete
  5. That's my girl Maria, great job baby!

    ReplyDelete
  6. Shule hiyo ndio inampa ujasiri na ufasaha wa mambo. Wabunge wengi hawana sifa hiyo. Safi Dada nasi tunakuja kukusaidia.

    ReplyDelete
  7. Ni kweli Tanzania itajengwa na wenye moyo na Maria una moyo, tukipata waTanzania wenye uchungu na nchi yetu kma wewe kweli tutaweza nakuombea kila la kheri kwenye shughuli hii ngumu tukiungana nawe tutaweza, Change is coming!

    ReplyDelete
  8. Hawa ndio watu wanaotakiwa kwenye karne hii kuwaelimisha wananchi wa Tanzania kuhusu haki zao za msingi zinavyochezewa na wababe wachache wenye madaraka.

    Mdau
    Columbus, Ohio

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...