.Baadhi ya wanafunzi wa kidato cha tatu katika Shule ya sekondari ya Kambangwa jijini Dar es Salaam,wakijisomea kupitia kompyuta darasani
 Mkuu wa kitengo cha mfuko wa huduma za jamii cha Vodacom "Vodacom Foundation"Yessaya Mwakifulefule (kushoto)akimsikiliza  Mkuu wa Biashara Endelevu wa kampuni hiyo Suraya Hamdulay,wakati alipotembelea darasa la mafunzo ya kompyuta katika Shule ya sekondari ya Kambangwa jijini Dar es Salaam,kujionea maendeleo ya mradi wa mpango wa kuziunganisha shule za Sekondari na Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano,Uliofadhiliwa na Vodacom  Tanzania kwa kushirikiana na Samsung.
 Mwalimu wa somo la kingereza wa shule ya sekondari ya Kambangwa jijini Dar es Salaam,Editha Mwinuka(wapili kutoka kushoto)akimwelekeza mwanafunzi wa kidato cha tatu Barnaba Siyame jinsi ya kupata matirio ya kujisomea katika kopyuta wakati Mkuu wa Biashara Endelevu wa kampuni ya Vodacom Suraya Hamdulay(kulia)alipotembelea Shule hiyo kujionea maendeleo ya mradi wa mpango wa kuziunganisha shule za Sekondari na Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano,Uliofadhiliwa na Vodacom  Tanzania kwa kushirikiana na Samsung.kushoto ni Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo Theresia Ng'wigulu.
 Mwalimu wa somo la kingereza wa shule ya sekondari ya Kambangwa jijini Dar es Salaam,Editha Mwinuka(wapili kutoka kushoto)akimwelekeza mwanafunzi wa kidato cha tatu Barnaba Siyame jinsi ya kupata matirio ya kujisomea katika kopyuta wakati Mkuu wa Biashara Endelevu wa kampuni ya Vodacom Suraya Hamdulay(kulia)alipotembelea Shule hiyo kujionea maendeleo ya mradi wa mpango wa kuziunganisha shule za Sekondari na Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano,Uliofadhiliwa na Vodacom  Tanzania kwa kushirikiana na Samsung.kushoto ni Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo Theresia Ng'wigulu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hongera sana Walimu wa Kambangwa kwa kupiga hatua kali kwa sasa Mungu awabariki kwa kila jambo.
    Mary

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...