Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr. Rehema Nchimbi (mwenye miwani) akiwapa pole ya kazi vibarua wanaofanya matengenezo ya barabara ya Morogoro-Dodoma eneo la Dumila ambalo liliathirika kwa mafuriko yaliyolikumba eneo hilo hivi karibuni, Mkuu huyo wa Mkoa mwishoni mwa wiki alitembelea eneo hilo kujionea matengenezo ya barabara ambapo alikabidhi msaada wa maji ya kunywa na Juisi kwa mafundi na vibarua hao.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...