Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Elaston Mbwilo akizungumza na wanafunzi wa shule ya sekondari Bama kuhusiana na suala zima la kuzingatia masomo na kuacha starehe, kwenye ziara yake juzi Wilayani Hanang' (kulia) na Mkuu wa Wilaya hiyo Christina Mndeme.
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Elaston Mbwilo (kushoto) akikagua mradi wa umwagiliaji maji mashambani, katika kijiji cha Endagaw Kata ya Endasak, kwenye ziara yake juzi ya kukagua shughuli za maendeleo Wilayani Hanang'.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Mbona huonyeshi shambalenyewe au bustani inayofaidika na mradi huo?. Haifundishi kitu kunionyesha jamaa wenye vitambi na masuti.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...