Nyumba inauzwa iko, Gongo la Mboto mwisho wa Lawi,
Mita 50 kutoka barabara kuu,
Gari inafika mpaka mlangoni bila matatizo yeyote,
Nyumba ina vymba vitatu, kimoja master bedroom,
Inajiko, dinning na sebure kubwa na uwa mkubwa
Nyumba ina Umeme na Ac 2,
Kwa mawasiliano zaidi piga namba 0715 001 975 au 0787 999 774
Muonekano wa mbele wa nyumba hiyo...
Muonekano wa mpaka wa nyumba hiyo.
Nguzo ya umeme...ambayo ipo katika ukuta.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...