Mama Asha Bilali akimkabidhi Cheti Cha Udhamini kwa Meneja Mahusiano na Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa PPF katika tamasha la wanawake na akiba linaloendelea kufanyika Katika ukumbi wa Dar Live wilaya ya Temeke ,Jijini Dar Es Salaam.
Meneja mahusiano na Masoko wa mfuko wa pensheni wa PPF Bi Lulu Mengele akitoa hotuba fupi kwa washiriki waliohudhuria tamasha la wanawake na akiba ambapo PPF ilishiriki ili kuweza kutoa elimu kwa Washiriki kuweza kujua umuhimu wa kuchangia na mfuko wa Pensheni wa PPF kupitia mfumo wao wa hiyari katika tamasha la wanawake na akiba linaloendelea kufanyika katika Ukumbi wa Dar Live.
Mama Tunu Pinda (wa Kwanza Kushoto) akimsikiliza kwa makini Meneja wa Mahusiano na Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa PPF Bi Lulu Mengele wakati alipotembelea banda la PPF katika tamasha la wanawake na Akiba ambapo aliweza kujiunga na kuwa mwanachama mpya wa PPF kupitia mfuko wa kuchangia kwa hiyari katika tamasha la wanawake na akiba linaloendelea kufanyika katika ukumbi wa Dar Live jana.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...