Jumatano Februari 12,2014.
JKT Ruvu v/s Ruvu Shooting
---------------------
Jumamosi Februari 15,2014.
Rhino Rangers v/s Mgambo JKT
Ashanti United v/s Kagera Sugar
Mtibwa Sugar v/s Tanzania Prisons
JKT Oljoro v/s JKT Ruvu
Mbeya City v/s Simba
Ruvu Shooting v/s Coastal Union

MSIMAMO WA LIGI HADI SASA
NO
TEAMS
P
W
D
L
GF
GA
GD
PTS
1
Azam FC
16
10
6
0
29
10
19
36
2
Yanga
16
10
5
1
34
12
22
35
3
Mbeya City
17
9
7
1
24
14
10
34
4
Simba SC
17
8
7
2
33
15
18
31
5
Coastal Union
17
4
10
3
12
8
4
22
6
Mtibwa Sugar
17
5
7
5
21
21
0
22
7
Kagera Sugar
17
5
7
5
16
16
0
22
8
Ruvu Shootings
15
4
7
4
16
16
0
19
9
JKT Ruvu
15
6
0
9
13
19
-6
18
10
JKT Oljoro
17
2
7
8
13
18
-5
13
11
Ashanti United
16
3
4
9
14
28
-14
13
12
Mgambo JKT
17
3
4
10
8
26
-18
13
13
Rhino Rangers
17
2
6
9
11
21
-10
12
14
TanzaniaPrisons
14
1
7
6
6
16
-10
10

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Asante blog ya jamii:Msimamo ni sahihi kabisa nimechungulia tovuti kadhaa za vilabu kadhaa.

    1: Mabeki na kipa wa COASTAL UNONI,wanaonekana kuwa vizuri-Wameruhusu magoli machache kuliko timu yoyote kwenye msimamo au wanapaki basi la "RELWE"?

    2:Waandishi wa habari za michezo naomba leo niwape neno kidogo.Zamani magazeti ya UHURU,MZALENDO,MFANYAKAZI,DAILY NEWS walikuwa wanaporipoti ligi ya bara(enzi hizo) mara nyingi walika na msimamo wa ligi.Siku hizi mara X amshika sharubu Y+blah blah blah, kwisha.Ni mara chache sana kukuta msimamo wa ligi kwenye magazeti yetu kwenye kurasa za michezo,yanaporipoti habari za ligi kuu.

    3:Klabu ya Simba haina Tovuti?

    David V

    ReplyDelete
  2. Kwa kiwango hiki mshindi wa Voda Premium League (VPL) Tanzania wanaweza angalau kuondoka na POINTI 50 (hamsini) kweli?

    Maana ligi ya VPL Tanzania tayari imeingia nusu ya pili ya mzunguko na Azam FC ina pointi 36, je hii inaonesha ubutu wa mastraika wa ligi hii kuu ya Tanzania?!

    Pointi 78 ni maximum points toka pointi 36 za anayeongoza ligi zinabaki pointi 48, je mshindi wa ligi yetu anaweza kuvuka zaidi ya jumla ya pointi 50?

    Makocha , manazi, mashabiki hili jambo la ukame wa pointi nyingi inasababishwa na nini hasa?

    Mdau
    Barclays England Premium League

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...