Waziri wa Maliasili na Utalii
Mhe. Lazaro Nyalandu akifanya mahojiano na Mwandishi wa Gazeti la The
Independent la Nchini Uingereza kuhusiana na juhudi mbalimbali
zinazofanywa na Serikali katika Vita Dhidi ya Ujangili nchini.
Waziri wa Maliasili na Utalii
Mhe. Lazaro Nyalandu (kati) akimtambulisha Mshauri wa Masuala ya Vyombo
vya Habari nchini Uingereza Bw. David Tarsh (kulia) kwa Waziri wa Mambo ya
Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Benard Membe jijini London, Uingereza
wanakohudhuria Mkutano wa Kimataifa wa Biashara Haramu ya Wanyamapori.
Waziri wa Maliasili na Utalii
Mhe. Lazaro Nyalandu akiongea na Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Daily Mail
la Uingereza Bw. Guy Zitter (kati) na Mhariri wa Gazeti la Mail on Sunday
Bw. Geordie Greig (kulia) alipotembelea Ofisi za Gazeti la Daily Mail
jijini London, Uingereza kuelezea juhudi mbalimbali zinazofanywa na
Serikali katika Vita Dhidi ya Ujangili nchini.

Habari kamili soma hapo chini.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...