Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Uwakilishi wake wa Kudumu katika Umoja wa Mataifa,  imeingia katika Ujumbe wa Bodi  Tendaji ya Mashirika na Mifuko  ya Umoja wa  Mataifa inayosimamia na kuratibu masuala ya  Maendeleo,  Tanzania ni  miongoni mwa nchi 35 zinaounda  Bodi hiyo.  Pamoja na kuwa mjumbe,  Tanzania pia ni Makamu  Rais wa Bodi ikiwakilisha nchi za Afrika. Tanzania itakuwa mjumbe wa Bodi  kwa kipindi cha 2014 hadi 2016. Pichani   baadhi ya  Maafisa wa Uwakilishi wa Kudumu,   Bw. Noel Kaganda na Bi. Ellen Maduhu  wakifuatilia moja  ya vikao vya Bodi ambapo Tanzania ilishiriki.
Sehemu ya  wajumbe  wakifutaliana majadiliano. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...