Taswira za University of Dodoma (UDOM) kutoka angani. Ukitaka mengi toka chuo hiki ambacho ni mojawapo ya vyuo vikubwa katika Afrika Mashariki na ya kati BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Taswira inavutia sana hii jamani. Hongera Tanzania kwa kuwa na chuo kikuu kizuri na cha kuvutia. Ila tubarabara huto twa vumbi tunaharibu show or taswira ya chuo. Ikiwezekana tukarabatiwe kwa kuwekwa lami au kusakafiwa hata kwa zege basi. Well done Tanzania pole pole tutafika kama wenzetu.

    ReplyDelete
  2. Ni hatua nzuri ya maendeleo!

    Kinachobaki ni kuzitawanya Huduma za Elimu ya juu zisiwe zimeegemea sana UDSM peke yake mambo mengine yanatakiwa yawepo UDOM ambayo UDSM hayapo.

    ReplyDelete
  3. mbna huduma zishatawanywa kibao kwa mfano udsm hakuna taaluma ya madaktar udom wapo vile vile udsm hakuna bcom in international bussines udom ipo but tofaut ya udsm na udom kubwa ni watu wanaokwenda kusoma coz udsm asilimia kubwa ni cream ya Tanzania hii na nikisema cream namaanisha watu wenye uwezo katika mitihan ya kumaliza elimu ya sekondar dats y huwez shangaa kuona udsm inakua top ten za vyuo bora africa karbia kila mwaka na tatizo la udom chuo kimekaa kisiasa siasa sana kwa upande wa management yao

    ReplyDelete
  4. Na matokeo yake utasababisha baadhi ya nyanja kulegalega katka nchi yetu so mm ningeshaur udsm kiwekwe kila kitu ili Tanzania ipate manufaa kutokana na creams mbal mbal walioshehen udsm na wanakosa hzo coz muhmu kama udaktar na international bussines

    ReplyDelete
  5. Taswira nzuri ya UDOM, niliwahi kusafiri na watu wa nje waliofanya mkutano UDOM wakati wanafunzi wakiwa likizo, wakasema chuo kizuri lakini maji ya shida ya kuchota na ndoo. UDSM kwa miaka mingi ilikuwa na shida ya maji ikatatuliwa. UDOM nayo ifanyiwe kazi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...