Mwanamke akisikiliza radio
Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Teknolojia, UNESCO linajivunia harakati zake za kuleta usawa wa kijinsia kupitia mafunzo yake ya kuziwezesha radio hususan zile za kijamii kwenye nchi zinazoendelea.Miongoni mwao ni zile za nchini Tanzania ambapo katika mahojiano na Assumpta Massoi wa Idhaa ya Kiswahili Redio Umoja wa Mataifa  
Mratibu wa Mawasiliano wa shirika hilo kwa Radio za Kijamii Al Amin Yusuph anaanza kwa kueleza kile walichofanya na kuleta mabadiliko chanya kwa watendaji wa Radio hizo na jamii zinazozizunguka.
(Mahojiano)
Kusikiliza bonyeza hapa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...