Wakuu wa Majengo wakiwa na vyeti vyao mara baada ya mafunzo. Waliokaa kuanzia kushoto ni Bw. Godfred Mbanyi mwezeshaji kutoka Bodi ya Watalaam wa Ununuzi na Ugavi, akifuatiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Dkt. Marina Alois Njelekela, Dkt. Clemcence Tesha ambaye ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Watalaam wa Ununuzi na Ugavi akifuatiwa na Bi. Agnes Mtawa ambaye ni Mwenyekiti wa Tenda Bodi ya Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Wakuu wa Idara mbalimbali za Hospitali wakiwa na vyeti vyao mara baada ya mafunzo. Waliokaa kuanzia kushoto ni Bw. Godfred Mbanyi mwezeshaji kutoka Bodi ya Watalaam wa Ununuzi na Ugavi, akifuatiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Dkt. Marina Alois Njelekela, Dkt. Clemence Tesha ambaye ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Watalaam wa Ununuzi na Ugavi akifuatiwa na Bi. Agnes Mtawa ambaye ni Mwenyekiti wa Tenda Bodi ya Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Wakurugenzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili wakiwa na vyeti vyao mara baada ya mafunzo. Waliokaa kuanzia kushoto ni Bw. Godfred Mbanyi mwezeshaji kutoka Bodi ya Watalaam wa Ununuzi na Ugavi, akifuatiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Dkt. Marina Alois Njelekela, Dkt. Clemence Tesha ambaye ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Watalaam wa Ununuzi na Ugavi akifuatiwa na Bi. Agnes Mtawa ambaye ni Mwenyekiti wa Tenda Bodi ya Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...