Ilikuwa patashika nguo chanika katika sherehe ya Harusi ya Alex Mwalwiba na
Flora Japher iliyofungwa katika kanisa la KKKT Mjini Lindi na baadaye mnuso wa nguvu katika ukumbi wa Lindi Beach hotel.
Bwana Harusi ni Fundi mkuu wa kampuni ya Uniglobex ya mjini lindi huku
Bi Harusi akiwa mwajiriwa wa Jeshi la polisi Mkoani Lindi kitengo cha
Usalama barabarani
Sote kwa pamoja Tunawaombea Dua katika maisha yao Mapya ya Ndoa
Picha na Abdulaziz Video Rec Ya Mjini Lindi
Wadau Alex Mwalwiba na Flora Japher wakiwa na nyuso za furaha baada ya kumeremeta
Alex Mwalwiba na Flora Japher katika taswira ya kumbukumbu Lindi Beach
Alex akiwa na wapambe
Alex Mwalwiba na Flora Japher na wapambe wao
Alex Mwalwiba na Flora Japher wakikata keki kwenye mnuso wao wa nguvu Lindi Beach hotel. Globu ya Jamii inawapongeza na kuwatakia maisha ya heri na ya furaha na yenye watoto kibao.
Mandhari ya Lindi mazuri, wadau wa Lindi wekezeni, miaka ijayo tusikie hata utalii Lindi.
ReplyDelete