Wadau  John Kasuka na Salome Joseph wameremeta  katika kanisa la KKKT Kilwa Masoko mkoani Lindi na baadaye kusherehekea katika mnuso wa nguvu katika ukumbi wa PEC hotel(kwa sultan) Kilwa

Wadau John Kasuka na Bi salome Joseph  wakiwa na nyuso za furaha
baada ya kumeremeta


Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Kilwa  Addoh
Mapunda ambae ni mwajiri wa bwana harusi akiwapongeza vijana wake


Maharusi wakielekea beach kupata taswira za kumbukumbu
Ni wakati wa kuvalishana pete za kuemremeta kwao

Kasuka na Salome wakiwa katika Taswira ya kumbukumbu na
wanakamati walioandMnuso huo. Globu ya Jamii inawapongeza na kuwatakia maisha ya heri na ya furaha na yenye watoto kibao. 
Picha na Abdulaziz Video, Lindi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Hapo Beach ukiachana na shela ya bibi Harusi ni capeti au beach haina matunzo.
    Ni muhimu wa Watanzania wenzangu kujua thamani za Beach

    ReplyDelete
  2. huyo jamaa mwenye koti jeupe mbona kama anampiga picha mwenye microphone??

    ReplyDelete
  3. Peter KivinjeFebruary 04, 2014

    Hongera saana mkuu nakupa big up kuachana na ukpel a. Kilwa pamekaa vibaya kama huna chako.
    Peter Kivinje

    ReplyDelete
  4. Nimependa make up ya bibi harusi.Imeendana na rangi yake. Mungu awabariki

    ReplyDelete
  5. Hongera John tulikuwa pamoja, tuko pamoja na tutaendelea kuwa pamoja. Mungu awape maisha marefu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...