Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya biashara ya NBC  Tanzania,Bi.Mizinga Melu akiongea na watoto wanaolelewa katika kituo cha Yatima cha Msimbazi Centre jijiini Dar es Salaam, wakati alipofika kituoni  hapo kutoa msaada wa vitu mbalimbali vikiwemo vyakula na mashine ya kusagia juisi, alipoguswa kama  mzazi  na  maisha ya watoto hao wanaolelewa katika kituo hicho. 
 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya biashara ya NBC Tanzania, Mizinga Melu akifurahia jambo na baadhi ya watoto yatima wanaolelewa katika kituo cha Msimbazi centre jijini Dar es Salaam,alipowatembelea na kuwakabidhi msaada wa vitu mbalimbali ikiwemo vyakula.
 Baadhi ya watoto yatima wanaolelewa katika  kituo cha Msimbazi Centre jijini Dar es Salaam wakipokea  zawadi za biskuti toka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya biashara ya NBC Tanzania,Bi. Mizinga Melu,walipotembelea na mkurugenzi huyo kama mzazi na kuwapa msaada wa vitu mbalimbali vikiwemo vyakula pamoja na mashine ya kusagia juisi.
 Mkurugenzi Mtendeji wa benki ya Biashara ya NBC Tanzania,Bi. Mizinga Melu(kulia)akimuongelesha jambo mmoja wa watoto wanaolelewa katika kituo cha Yatima cha Msimbazi Centre jijini Dar es Salaam,alipotembelea kituo hicho kama mzazi aliyeguswa na maisha ya watoto hao na kutoa msaada wa vitu mbalimbali,Kushoto  ni  Katibu Mhitasi  wa benki hiyo Jolanda Songoro.
Mkuu wa kituo cha Kulelea watoto yatima cha Msimbazi Centre Sister. Ehienne(kushoto),akipokea moja ya msaada wa katoni ya pambazi kwaajili ya matumizi ya watoto wanaolelewa katika kituo hicho toka kwa Mkurugenzi  Mtendeji wa Benki ya Biashara ya NBC  Tanzania,Bi.Mizinga Melu(katikati) Mkurugenzi huyo alikabidhi vitu mbalimbali kama vile mchele ,mafuta na mashine ya kusagia juisi baada ya kuguswa kama mzazi na maisha ya watoto hao wanaolelewa katika kituo hicho,kulia ni  Katibu Mhitasi wa benki hiyo  Jolanda Songoro.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...