Waziri wa Afya na ustawi wa Jamii katika picha ya Pamoja na mgeni rasmi Rais wa Idnia Dkt. .APJ Abdul Kalam  baada ya kufungua kongamano linalojadili matokeo ya tafiti mbalimbali zinazohusu magonjwa ya saratani,hatua za kujikinga na magonjwa ya saratani,tiba za magonjwa ya saratani.mkutano huu uluhudhuriwa na washiriki mbalimbali kutoka bara la Afrika na Asia.Kulia kwa waziri wa Afya ni waziri wa Afya wa Zimbabwe Mhe David Parirenyatwa
 Waziri wa Afya na ustawi wa Jamii akifanya mazungumzo na mwenyekiti wa hospitali za appollo Dr.Pratap Reddy(mwenye tai ya bluu).mhe.waziri alikuwa akihudhuria kongamano la ugonjwa wa Saratani nchini India.mazungumzo haya yalilenga kuboresha utoaji wa huduma za Afya nchini Tanzania hususan Ugonjwa saratani.

Washiriki kutoka mataifa mbalimbali katika kongamano la saratani nchini India,wakimsikiliza waziri wa Afya na ustawi Jamii Dkt.Seif Rashid alipohutubia kongamano Hilo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...