Mpenzi wa kufa wa Bwawa la Maini yupo Anfield hivi sasa na keshamwandalia Ankal zawadi nono kwa ushindi wa bao 5-1 dhidi ya Arsenal jana. Asante mdau kwa zawadi bomba.
ANGALIZO: Hivi tunavyoongea Man U wameshikwa shati na Fulham baada ya kupigwa bao dakika ya 94 za majeruhi, na ngoma imemalizika kwa mabao 2-2.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...