Baadhi ya Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC) wakimsikiliza Mtendaji Mkuu wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Adelaide cha Jijini Adelaide nchini Australia Alec Gilbert (wa tatu kushoto), akitoa maelezo ya namna ya ujenzi na uendeshaji. Baadhi ya Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa AICC, Mkurugenzi Mwendeshaji na Maofisa wawili wapo nchini Australia katika ziara ya mafunzo ambapo mbali na kutembelea Kituo cha Adelaide pia watatembelea Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Melbourne kilichopo katika Jijini la Melbourne chini Australia.
Home
Unlabelled
AICC ipo ziarani nchini Australia katika ziara ya mafunzo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...