Home
Unlabelled
benja mwaipaja wa kijiwe cha ughaibuni alipotua bongo...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
hahahaaaaaa Benja unaua!
ReplyDeleteYaaani we acha tu. Hivi Benja umeoa?? Natamani kuwa mkeo
ReplyDeletethat's bragging brother
ReplyDeleteWawekezaji hao. Diaspora wanahitaji dola 25,000 wakatie waache kuchangishana bwanaaaaa
ReplyDeleteAnkali mpeleke Benja Feri kwa akina mama Ntilie akalichape dona la Kikwete kwa dagaa mchele!
ReplyDeleteSasa wewe Mjomba unapokea mgeni muhimu kama huyo halafu unampeleka Serena Hotel na Kilimanjaro Hyatt Regency ?
haha haha mdau hapo juu anachekesha anadhani kuchangisha ni umaskini. njoo uone nchi zenye pesa zao zinavyofanya mamabo makubwa kwa kuchangishana NGO kubwa kubwa unazoziona hapo amabazo nadhani unazimezea hata kupata kazi zake zinachangisha kidogo kidogo na hatimae kitu kizima. Kuchangishana si kwamba huna hela halafu kuna watazania wengi tu wenye uwezo mkubwa wa kuwekeza hapo Tanzania na kwa taarifa yako wana makampuni makubwa tu hata nje si kama busha kwa taarifa. naomba mdau aelimike kuchangishana si umaskini.na ndo maana utakuta kwenye arusi eti mtz akisimama kutoa ahadi utadhani mashindano .bado hatujajua thamani ya pesa TZ ulimbukeni.kejeli eti kuchangisha 25,000 anaona noma. mmmmh
ReplyDeletewewe mdau kuchangishana ni mambo siyokuwa na msingi. Umegusia harusi, yaani hilo na wewe unaona la maana? unachingia harusi mtoto wako hana ada ya kwenda shule sasa hapo akili? Tuache mambo ya kuchangishana kwenye mambo yasiokuwa na msingi. Changieni elimu, barabara mnapokaa huwezi pita mvua ikinyesha changu mtengeneneze sio kuchangia semina elekezi ambazo hazina umuhimu wowote.
ReplyDeleteKumbe wahaya huwa tunawaonea tu maskini kwa kuwa walitangulia kupata exposure. Sasa hapa first class na economy class zinatusaidia nini? Siku zote huwa tunawanyooshea vidole viongozi wetu. Huyu Benja Mwaipaja ukimpa uongozi itakuweje huyu?
ReplyDeleteBenja na mbwiga wa clouds nani mkali?
ReplyDeletemhhhh huyu mtu wenu huko huko mjn
ReplyDeletekama kweli n mwana daspora muulize je yeye nu memba wa SAIGON CLUB au PAN AFRCA CLUB?
sijatosheka na benja tuwekee video nyingine.nimefurahi kumuona benja yupo bongo.
ReplyDeleteUkiwa unafuraha sana au unaongea ili uwafurahishe watu na hasa ukiwa "emotionally charged" ni rahisi sana kuwa na maneno ya kejeli au matusi na dharau; ikiwa una imani katika MUNGU utaita "maneno ya kukufuru"...hivi kweli ukiwa na viji-senti vya kubadilisha mboga na angalau ukapanda ndege "Premium World/Business Class" unaweza kweli ukawadhalilisha wengine wote wanaopanda Economy Class eti kama wako kwenye msiba/wako kwenye uchaguzi?
ReplyDeleteUkiwa umebarikiwa jitahidi mara nyingi kuwa mnyenyekevu acha hizo kejeli/matusi ..... kila mmoja kwa namna moja au nyingine anaweza kufanikiwa ki-uchumi na siyo lazima akifanikiwa kiasi kikubwa vile eti awaone wengine wako kwenye msiba tu kwavile wako Economy Class?....sikuifurahi sana hii phrase ya huyo m-diaspora wa kijiwe. He needs to be humbled!
Watanzania, utawajua tu.....
ReplyDeletemdau uliyesema kuhusu Pan Africa club au Saigon hebu tombe radhi sie
ReplyDeletehuyo bin yamim ni mtoto mdoo sana na hawezi kujua significance ya vilabu hivi.
kwanza ili kujua kama anaweza kupass mtihan muulizeni kama ni SIMBA au YANGA?
akisema ni SIMB bas kundi lake huyo ni la SALAMANDER na sio huku Kariakoo....na kwa accent yake tuu huyo sio wa kwetu kabisaaa ikuna big possibility katokea bara...hivyo kwenye vikao vyetu hawezi kutia neno
Pia siku akivaa kazu tutajua kama ni mwenzetu au la ....maana wenyewe tunajua kwa uvaaji wetu wa kanzu kofia (kofia za ki Oman na za dukani) ni kielelezo pia hiyo ni wa wapi...sisi tunavaa kofia za mkononini
lakini mindhali ni mzungumzaji ningependa kumsikia akihojiwa walau kwa 30 mins ili atuambie experience yake ya huko marekani
Na kama ni wetu bas haina namna maana tunao wengi tuu kama akina MOHAMMED GEORGE na akina PAUL SOZIGWA hivyo tutamkubali na kumpeleka Mangesani kwa shaabudu, bagamoyo akatembelee makaburi ya wazeee
Si haba kuona mzaramo alosoma kama huyu. Hvyo angekuwa hajasoma ingekuwaje maana hii nyodo kuliko jamaa zangu wa kule juuuu
inshaallah baaein
ngoja nikale ishaaa
Benja , mkali wa kijiwe !
ReplyDeleteMimi Naona ni MBWEMBWE za safari ya Bongo !
Anawaza maeneo, jamaa kawa miss sana ! Atapoa tu, acha amalize kuchanga karanga !
Ongea Benja utoe ma frustrations ! Mdomo wako hauna vati !
Box oyeeeee! Box Juuuu !