Jay Ram ni Msanii Chipukizi ambae anaishi inchini Marekani katika mji wa Texas Amarillo, Jay Ram amesha achia wimbo wake wakwanza unao enda kwa jina la Honey aki featuring Daddy Face. Na hii ningoma yake ya pili ambayo amechia video yake ambayo inakwenda kwa jina la UNANIWEZA. video imetengenezwa na PDK FILMS.
LINK HII HAPA YA VIDEO: http://youtu.be/gWqOln5C6JA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...