Msanii S2R akiwa na mdundo toka Benamo Recs anadrop wimbo "Baby Gal" ikiwa ni ngoma aina ya dancehall, vocal zimesimamiwa Noizmekah studios Arusha, bofya HAPA kuisikiliza/download na kwa mawasiliano/mahojiano zaidi check na S2R kwa nambari +255 785 317 976
Home
Unlabelled
introducing S2R from Arusha with his single 'Baby Gal'
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...