Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF), Simon Mwakifwamba, akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari pamoja na wasanii Februari 28,2014 katika ukumbi vijana kinondoni jijini Dar es Salaam, kuhusu viongozi mbalimbali wa Sanaa hapa nchini kwenda mkoani Dodoma Bungeni kupeleka ujumbe wa matakwa ya wasanii kuingizwa katiba Katiba mpya. Kutoka kulia ni Rais wa Shirikisho la Muziki wa Injili, Addo November, Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa Tanzania (Basata), Godfrey Mngereza na Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanamuziki Tanzania (Tamunet), John Kitime.
 Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa Tanzania (Basata), Godfrey Mngereza akibonyeza kitufe kuzindua rasmi CD yenye wimbo wa kuhamasisha wabunge la katiba kuweka kipengele cha kulinda haki bunifu za wasanii nchini wimbo huo umetungwa na wasanii mbalimbali.uzinduzi huo lifanyika Februari 28,2014 katika ukumbi vijana kinondoni jijini Dar es Salaam.
Wasanii mbalimbali pamoja na waandishi wa habari wakishuudia uzinduzi huo.PICHA NA PHILEMON SOLOMON

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...