Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta (kushoto) akimwapisha Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Anne Makinda (kulia) kuwa mjumbe wa Bunge hilo, Bungeni Mjini Dodoma Machi 24, 2014.
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta (kushoto) akimkabidhi vitendea kazi Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Anne Makinda baada ya kumwapisha kuwa mjumbe wa Bunge hilo, Bungeni Mjini Dodoma Machi 24, 2014.
Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, January Makamba (kushoto) na Ismail Jusa Ladhu wakitoka kwenye ukumbi wa Bunge mjini Dodoma Machi 24, 2014 baada ya Bunge kuahirishwa.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na wanachuo wa Chuo cha Nyuki cha Tabora waliotembelea Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma Machi 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...