Busara za viongozi wa kisiasa katika  semina ya kujadili kanuni zimeokoa jahazi na kikao kuendelea salama leo jioni. 
 Mwenyekiti wa chama cha CUF na mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Prof. Ibrahimu Lipumba akichangia.
 Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi na Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Mhe.James Mbatia akichangia .
 Mwenyekiti wa chama cha CHADEMA na mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Freeman Mbowe akichangia.
Naibu katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Tanzania Visiwani  na mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Mhe.,Vuai Ali Vuai akichangia upatikanajoi wa mwafaka wakati wa kujadili rasimu ya kanuni leo jioni. Picha na Deusdedit Moshi wa Globu ya Jamii.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Fourth week and they have done nothing at all, ie 1/3 of the time wanajaza matumbo yao na hela zao. They will still be there till Xmass - that is my bet!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...