![]() |
Mwamuzi Kabwe Corona akirushiwa maneno na wachezaji wa timu ya New generation inayoshiriki ligi daraja la tatu ngazi ya mkoa wa Kilimanjaro. |
![]() |
Mashabiki wanaodaiwa kuwa ni wa timu ya New Generation wakivamia uwanja kwa ajili ya kutoa kichapo kwa mwamuzi. |
![]() |
Mwamuzi Corona Kabwe akijitahidi kujitetea. |
![]() |
Baadae New generation wakakubali penati ipigwe. |
![]() |
Kocha wa timu ya New generation Isaack Gamba akitulizwa na kocha Norman Kayange wakati akilalamikia penati hiyo. |
![]() |
Baada ya penati kupigwa na goli kufungwa mashabiki wakamgeuza asusa mwamuzi Kabwe Korona. |
![]() |
Mwamuzi wa akiba Henry Lymo pia alitishwa kidogo hapa. |
![]() |
Hivyo hali ilibadilika uwanjani na mchezo ukavunjika. |
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...