Bondia Mussa Mchopanga kushoto akionesha ufandi wa kutupa makonde kwa Azizi Swalehe wakati wa michuano ya mashindano ya Klabu bingwa ya ngumi mkoa wa Dar es salaam. Mchopanga alishinda kwa K,O ya raundi ya kwanza 

Bondia Azizi Swalehe akiwa chini baada ya kupigwa konde zito na Mussa Mchopanga aliyesimama Mchopanga alishinda kwa K,O ya raundi ya kwanza.

Bondia Maulidi Athumani kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na John Christia wakati wa mashindano ya klab bingwa ya mkoa wa Dar es salaam Christian alishinda kwa point. Picha na Super D.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...