Mdau Samson Chekingo anapenda kuwataarifu wote Misa ya kumuombea Mpendwa Baba Yake Major Samuel Isaac Chekingo.Itakayofanyika siku ya Jumamosi 3-8-2014 kuanzia saa  9 jioni (3 PM) had 1 usiku (7 PM) Katika Kanisa la kiluteri lililopo HYDE PARK-South Side of Chicago.

Anuwani ya Kanisani:

AUGUSTANA LUTHERAN CHURCH OF HYDE PARK
AND LUTHERAN CAMPUS MINISTRY
5500 SOUTH WOODLAWN AVE
CHICAGO - IL 60637
Tafadhali tunaomba kuzingatia muda wa Ibada ambayo itaanza saa 9 kamili (3pm).

Major Samuel Isaac Shekingo alifariki Tarehe 01-28-2014 Katika Hospitali ya Lugalo.
Kwa taarifa zaidi unaweza kuwasiliana na:

RSVP to:
Samson Chekingo
Phone #: 847-987-9637
Email address: samchecks@hotmail.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...