Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu akisalimiana na Mwenyekiti wa Tughe Makao Makuu ya Jeshi la Polisi Alcado Nchinga jana mjini Morogoro alipokua akiwasili kwenye ufunguzi wa Mkutano baraza la wafanyakazi idara ya Jeshi la Polisi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu akiwasili na Mwenyekiti wa Tughe Makao Makuu ya Jeshi la Polisi Alcado Nchinga jana mjini Morogoro kwenye ufunguzi wa Mkutano baraza la wafanyakazi idara ya Jeshi la Polisi.
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera akikaribishwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu kwenye ufunguzi wa Mkutano baraza la wafanyakazi idara ya Jeshi la Polisi.
Maofisa wakuu wa Jeshi la Polisi wakiimba wimbo wa “Solidarity Forever” jana mjini Morogoro wakatiwa ufunguzi wa mkutano wa baraza la wafanyakazi idara ya Polisi.
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera (katikati), Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu (kulia) na Mwenyekiti wa Tughe Makao Makuu ya Jeshi la Polisi , Alcado Nchinga (kushoto) wakiimba wimbo wa “Solidarity Forever” kwenye ufunguzi wa Mkutano baraza la wafanyakazi idara ya Jeshi la Polisi. Picha Na Hassan Mndeme-Jeshi la Polisi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...