Ndugu Ridhiwani Kikwete ameshinda kwa kishindo katika kinyang'anyiro cha kuwania kuteuliwa kuwa mgombea wa ubunge jimbo la Chalinze kupitia CCM. Katika uchaguzi huo uliofanyika leo kijijini Msata, Chalinze. 
Matokeo ni kama ifuatavyo:
1.Ridhiwani Kikwete kura 758
2.Shaban Iman Madega kura 335
3.Athuman Ramadhan Maneno kura 206
4.Changwa Mohamed Mkwazu kura 12
Kura zilikuwa 1363 zilizo Haribika 5 na Halali ni kura 1316

Wapiga kura za maoni kumchagua mgombea wa kiti cha Ubunge cha Chalinze wakiwa tayari kupiga kura zao leo Msata, Chalinze






Ndg.Ridhiwani Kikwete Mgombea wa ubunge katika Kura za Maoni za CCM jimbo la Chalinze akipigia Kura. 

 Ndg. Ridhiwani Kikwwete akiwa katika foleni  ya  uwakilishi wa Kata anayotoka ya Msoga katika zoezi la upigaji kura  Msata (Chalinze).

Sehemu ya wajumbe wa kikao hicho cha kura za maoni

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Ccm ya ukweli Uwazi.. R.kikwete Mbunge mtarajiwa ..si mmeona Kura hizo

    ReplyDelete
  2. Who said Tanzania didn't have political dynasty???

    ReplyDelete
  3. Yeh! same as America, Bush senior and junior and Kenya for Uhuru, Karume and Mahmoud Thabit Kombo for Zanzibar.Makongoro Nyerere?Let us wait for Kalenga.How about you and me?

    ReplyDelete
  4. Kuna overt na covert power...kweli kura ni za wazi

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...