Mwenyekiti wa NMB Business Club Kanda ya Temeke Bw. Ezekiel Matimo Gutti akiongea  machache  kuhusu  NMB Business Club Wilaya  ya Temeke  tangu kuanzishwa  kwake.

 Mtoa mada kuhusu kodi kutoka kampuni ya ‘Tanscott Taxation Service Ltd’ Bw. Hirji Abdallah akielezea kuhusu ulipaji wa kodi wakati wa semina ya wajasiriamali iliyondaliwa na benki ya NMB .Semina hiyo ulihudhuriwa na wanachama zaidi ya 400 wa NMB Business Club kutoka Wilaya ya Kinondoni, Ilala na Temeke hivi karibuni jijini Dar es salaam.
 
 Mwanachama wa NMB Business Club Wilaya ya Temeke Bibi Pili Matimbwa akichangia mada wakati wa semina hiyo.
 Meneja wa NMB anayeshugulikia Mikopo Midogo Midogo Mashaga Changarawe akiongea na wateja wa NMB katika semina hiyo ya wajasiriamali iliyoandaliwa na benki ya NMB.
 Mwenyekiti wa NMB Business Club Wilaya ya Ilala Bw. Henri Ignas Mrema akielezea jinsi  wana NMB Business Club Kanda ya Kinondoni  walivyonufaika na klabu hiyo tangu kuanzishwa  kwake na wanavyoendelea  kufurahia huduma na bidhaa kutoka benki ya NMB. Akitoa shukurani kwa niaba ya wanachama wake kwa uongozi wa benki ya NMB kwa kuandaa semina ambazo zinatoa mafunzo yanayowajenga wanachama wa NMB Business Club.
Mwenyekiti wa NMB Business Club Wilaya ya Kinondoni Bw. Ramadhani Njiku akielezea mafanikio waliyoyapata wanachama wa  NMB Business Club Wilaya ya Kinondoni  tangu kuanzishwa kwake. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...