TANO Ladies wanatoa shukrani za dhati kwa watu mlioshiriki kwa namna moja au nyingine katika kuhadhimisha sherehe  ya siku ya Wanawake Duniani 2014. Shukrani za pekee kwa Mheshimiwa Balozi Liberata Mulamula na wanawake Wajasiriamali walioshiriki kwenye maonyesho:Mitindo Nite, NASHONA,Taste of Tanzania, Farida Cartering, Little Ladies of Diaspora, SHINA INC, IskaJoJo Studios, Computer Repair Services, Nesi Wangu, Bahari Deco. Crafts, Marbella Events Inc, Lucy Nombo, Erica Lulwakwa Glenn na Design by Salha Saleh.  Mwisho ni akina baba na akina mama wote mliokuja kujumuhika nasi siku ya Jumamosi ,Machi 08. Hatuna cha kuwalipa,lakini wema wenu haujaenda bure! Ahsanteni sana kwa kuwa sisi pekee hatutaweza lakini kwa ushirikiano nanyi, tunaweza! Ahsanteni sana.
Kwa taswira zaidi ilivyokuwa mtembelee IskaJoJo Studios

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Wanawake wote nchini hata baada ya kusherehekea siku ya wanawake swala la kusaidiana kuinuana na kujengana liendelee. Bado wanawake wengi wanahitaji kujisimamia wawe wameolewa au hawajaolewa ili ni swala muhimu katika bara letu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...