Wachezaji wa Simba wakiingia uwanjani wakati wa mchezo wao na Coastal Union ya Tanga.
Wachezaji wakisalimiana.
 Benchi la ufundi la Simba.
 Kikosi cha Coastal Union ya Tanga.
 Kikosi cha Simba.
 Mashabiki wa Simba wakishangilia timu yao.
Mashabiki wa Simba wakichagiza ushindi.
 Mshambuliaji wa Simba, Ramadhani Singano akimiliki mpira huku akizongwa na beki wa Coastal Union ya Tanga, Hamadi Juma katika mchezo wa Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Coastal ilishinda 1-0. (Picha na Francis Dande)
Mshambuliaji wa Simba, Haruna Chanongo akimtoka beki wa Coastal Union ya Tanga, Mohamed Mtindi katika mchezo uliofanyika leo kwenye Uwanja wa taifa.
 Wachezaji wa coastal wakishangilia ushindi wa timu yao.
 Mashabiki wa simba wakiwa wameduwaa baada ya kumalizika kwa mchezo na kupata kipigo cha bao 1-0.
Wachezaji wa Coastal Union wakiomba duwa baada ya kumalizika kwa mchezo. Picha na Francis Dande

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...