Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 23 mpaka sasa

  1. Hivi hawa wanaoishi huu mtaa wa upanga. Wameshindwa kweli kupanda majani na vi mti, kupendezesha hii sehemu. Wamesha jengewa barabara na sehemu ya watu kupita. Je hicho kipande cha mchanga/udongo, wanashindwa kupanda ata mpemba na viji mnazi?

    ReplyDelete
  2. Hii njia ni oneway ukiwa unatoka mataa ya joly/aga khan unaelekea upanga,hapo kwenye ghorofa jipya kulikuwa kuna mgahawa unaitwa chicken tika zamani.

    ReplyDelete
  3. Hapo ni Upanga, kutokea Agakhan Hospital kuelekea Alykhan Road, ni karibu na Ofisi shirika la habari, kama bado ipo.
    (Mdau alieondoka TZ 1990's)

    ReplyDelete
  4. upanga jamatini ukitokea trafic lights za agakhan hospital

    ReplyDelete
  5. Fire upanga.

    ReplyDelete
  6. The mdudu,kiwalani hapo lakini mbona jengo liko katikati ya barabara au ni macho yangu 2

    ReplyDelete
  7. Maeneo ya ilipokuwa chicken tikka panga

    ReplyDelete
  8. Hapa ni njia inayotokea las vegas casino kuelekea upanga ukikunja kushoto unaelekea makaburi ya kisutu na regency na kulia msikiti wa mnara wa saa (mashia)

    ReplyDelete
  9. upanga u
    kama unatokea taa za Las vegas kasino kwenda Diamond Jubilee

    ReplyDelete
  10. Upanga - Jolly/Aga khan junction towards BBQ House

    ReplyDelete
  11. Mtaa huo unaitwa nkomo na unakutana na Ally khan ni maeneo ya upanga.

    ReplyDelete
  12. Mbagala, rangi tatu

    ReplyDelete
  13. Hapo siyo Tanzania, ni Bangladesh.

    ReplyDelete
  14. Hapa kweli ni Upanga East kwa King Crazy GK, wapi East Coast!!??

    ReplyDelete
  15. Hapo usiku kuna vyuku vya tanduri

    ReplyDelete
  16. Hapa ni Manzese kwa mfuga mbwa

    ReplyDelete
  17. hapo ni upanga karibu na ofisi za RITA wilaya ya ilala mbele ni kona ya kuelekea hospital ya Taifa muhimbili

    ReplyDelete
  18. ni upanga corner ya barabara ya nkomo na alykhan.

    ReplyDelete
  19. mtaa wa sekela kuku hapo. ni one way toka opp na Jolly

    ReplyDelete
  20. Hapa ni upanga mashariki mtaa wa aly khan, picha imepigwa kutoka traffic light za aga khan. Ingawa ni kama KITUNDA RELINI kama unaenda KINYANTILA.

    ReplyDelete
  21. maarifu kwa Babu.. kwa wanaujua mambo ya vyuku usiku hapo Baberquee...,

    ReplyDelete
  22. hapo ni manhattan, NYC

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...