![]() |
Mjumbe wa bunge Maalum la Katiba Mhe. Augustino Lyatonga Mrema akimweleza jambo Mjumbe mwenzie Mhe. Ismail Aden Rage leo Mjini Dodoma. |
![]() |
Mjumbe wa Bunge maalum la katiba Mhe. Ally Kessy akiwaeleza jambo Wajumbe wenzie Mhe. Edward Lowassa (katikati) na Mhe. Mathias Chikawe ndani ya ukumbi wa bunge leo mjini Dodoma. |
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...