Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Hapo CDM mkiingia ni kutimiza tu haki yenu kikatiba lakini hamtaambulia hata 0.0000000001 ya kura zote.

    ReplyDelete
  2. Taswira ya chalinze ni nzuri, nimeona ghorofa moja, ukijani unaoashiria utajiri mwingi kama watu wakiwekeza kwenye kilimo. Picha inaonyesha ni pazuri kwa kweli.

    ReplyDelete


  3. Kama kawa kama dawa CCM oyeeeee. Poleni wahenga wa Kalenga!

    ReplyDelete
  4. Bongo kuzuri bwana. Ona ukijani unavyopendeza. Mie nafarijika kuona nyumbani kupo njema hivi.

    ReplyDelete
  5. Ni kweli, nyumbani kuna pendeza kweli. Tanzania kwa ujumla ina uoto wa asili mzuri sana sema ukosefu wa elimu kwa baadhi ya watu ndo unaofanya uharibifu wa mazingira. Heko heko Tanzania.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...