Home
Unlabelled
TASWIRA YA BARABARA YA KIVUKONI FRONT JIJINI DAR ES SALAAM LEo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Dar inajitahidi kuboreshwa kazi iko mikoani na wilayani
ReplyDeletekusema ukweli serikali ya Kikwete kwenye swala la barabara wamejitahidi. hata kama fedha zimetoka kwa wafadhili, zingeweza toka kwa wafadhili na zisifanye chochote na wala tusijue zilipo potelea, lakini tunampongeza Kikwete na serikali yake katika hili la barabara. Kabla hujatoka madarakani kumbuka basi na barabara ya bunju shule(Bunju A), ni mbaya sana.
ReplyDeleteMnyonge Mnyongeni haki yake mpeni. Rais JK na serikali anayoiongoza wamefanya mambo makubwa katika ujenzi wa barabara nchini.
ReplyDeleteOMBI: Ikumbuke pia Salasala Road iendelezwe pale ilipoishia kwani wakazi wa maeneo ya Kinzudi, Kulangwa na Goba Magharibi wanapata shida.
I love this city God Knows. Keep growing up Dar-es-Salaam.
ReplyDeletekwa nini barabara za wilayani huwa ni vumbi tupu, alafu viongozi wetu wamekazania DAR tu, mwanza mji wa pili kwa ukubwa lakini barabara zake ovyoo, four ways kipande kimoja tu, mji wenye watu wengi kama ule hamna hata ambulance lane,
ReplyDelete