Chama cha Wanawake katika Fani ya Wafamasia (TAWOPHA) kinapenda kuwatakia wanawake wote Tanzania na Duniani kote sikukuu njema ya wanawake. Wanawake tunaweza kama tukifanya kazi kwa bidii na kupeana  mawazo chanya  ili kujiletea maendeleo.

“Chochea Mabadiliko Kuleta Usawa wa Kijinsia”.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...