Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo Kipya cha Televisheni (TV 1 Tanzania),Marcus Adolfsson akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari kwenye hoteli ya Southen Sun,jijini Dar es Salaam leo,wakati wa kutangaza Uzinduzi wa Kituo hicho cha Televisheni kitakachokuwa kikirusha matangazo yake kutokea Jijini Dar na kuonekana nchi nzima.
 Watangazaji wa Kipindi cha The One Show kinachorusha na Kituo hicho kipya cha Televisheni(TV 1 Tanzania),Jokate Mwegelo na Ezden Jumanne wakizungumzia namna walivyojipanga kwenye kipindi chao hicho. 
 Wanahabari wakiendelea kupata taswira za watangazaji hao.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo Kipya cha Televisheni (TV 1 Tanzania),Marcus Adolfsson (wa tatu kulia) pamoja na baadhi ya watangazaji wa televisheni hiyo.toka kulia ni Ezden Jumanne,Jokate Mwegelo,Meshack Nzoha na Agness Kahonga,wakiangalia moja ya vipindi vyao wakati wa uzinduzi huo.

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. TV 1 Tanzania, Msisahau wana Diaspora ughaibuni kwa kuonesha vipindi vyenu ONLINE na Clips ktk YOUTUBE.

    Maana vituo vikubwa vingine vya TV Tanzania hawarushi matangazo ya ktk eneo la ONLINE na wala hawatundiki clips za matangazo yao ktk YOUTUBE.

    Mdau
    Tanzania Diaspora

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...