Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Zaidi y Ugumu wa Kudai Ukweni baada ya kukopesha, pana hawa jamaa zetu na ndugu zetu, mashahiba zetu tulio nao ambao ni mahodari sana kwa kutaka Kukopa.

    Wanapokujia Kukopa wanakuwa wanyonge mikono nyuma, lakini wakisha Kopa wanazinduka wanakuwa majasiri na vifua mbele na mikono mbele ikiwa imetuna kama ya John Cena!

    Wakati wa marejesho ya Mkopo ukifika, wakidaiwa asalaleee kwanza kabisahuanza kwa kujifanya wamesahau kuwa muda wa kulipa umefika, wanaanza wanakuwa Miamba, wanakuwa Wababe wanakuwa na Hoja za maudhi, wanakuwa wakorofi, wanakuwa wakaidi na viburi!

    Hawa ndio wale tutawaita akina ''NIKOPESHE UNIKOME'' !!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...