Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mpainduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(kulia)akibonyeza kitufe ikiwa ni ishara ya  Uzinduzi wa Maadhimisho ya Miaka 50 Muungano wa Tanganyika na Zanzibar katika ukumbi wa Salama Bwawani Hotel Mjini Unguja leo ,(wa pili kulia) Makamo wa Kwanza wa Rais Maalim Seif Sharif Hamad,akifuatiwa na Waziri ayeshuhulikia Muungano Samia Suluhu Hassan
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mpainduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(kulia)akiwahutubia wananchi na wanachama wa chama cha Mapinduzi katika uzinduzi wa Maadhimisho ya Miaka 50 Muungano wa Tanganyika na Zanzibar katika ukumbi wa Salama Bwawani Hotel Mjini Unguja leo
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mpainduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(kulia)akiwahutubia wananchi na wanachama wa chama cha Mapinduzi katika uzinduzi wa Maadhimisho ya Miaka 50 Muungano wa Tanganyika na Zanzibar katika ukumbi wa Salama Bwawani Hotel Mjini Unguja leo
 Baadhi ya wananchi na Viongozi wa Serikali ya Mapinduzi wakiwa katika sherehe za Uzinduzi wa Maadhimisho ya Miaka 50 Muungano wa Tanganyika na Zanzibar katika ukumbi wa Salama Bwawani Hotel Mjini Unguja leo,zilizozinduliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mpainduzi Dk.Ali Mohamed Shein
Viongozi wa Taasisi mbali mbali za Serikali na Binafsi walijumuika na wananchi katika Uzinduzi wa sherehe za Maadhimisho ya Miaka 50 Muungano wa Tanganyika na Zanzibar katika ukumbi wa Salama Bwawani Hotel Mjini Unguja leo,zilizozinduliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mpainduzi Dk.Ali Mohamed Shein. Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...