Watumishi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya wakiwa kwenye maandamano ya maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani katika viwanja vya Mwembe Yanga, Dar es Salaam.
Wakipita kwa shangwe mbele ya meza kuu huku wakihamasisha wananchi kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya.
Meneja Matekelezo wa NHIF, Grace Lobulu akifurahia namna watumishi wa Mfuko walivyopita mbele ya meza kuu.
Baada ya kutoka kwenye maandamano, watumishi wa Mfuko walitumia fursa hiyo kwenda katika Hospitali ya Ocean Road kwa lengo la kuwaona wagonjwa na kuwapa pole.
 Wanawake wa NHIF wakibeba vitu kwa ajili ya kuwashika mkono wagonjwa.
Wakijadili jambo kabla ya kuingia wodini 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...