Waandishi wa Habari waliokuwepo wakati wa mkutano kati yao na Waziri Membe (hayupo pichani). |
Waziri Membe (Mb) akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) huku Naibu wake Dkt. Mahadhi Juma Maalim (Mb.) akisikiliza. |
Mazungumzo yakiendelea.(Picha na Reginald Kisaka)
|
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...