'Wafungwa' wakijifua kupambana na askari Magereza katika moja ya maonesho yaliyotia fora sana kwenye sherehe za miaka 50 ya Muungano katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam leo
Askari akipambana na 'Mahabusu' aliyeasi
 Askari akila sahani moja na 'wafungwa' watatu
 Askari anapangua teke....
 Kisha anakata zote bee....
 Mfungwa hoi...
Anadakwa kilaaiiini....
Hii ilikuwa ni igizo tu, kwani hakukuwepo na mfungwa halisi bali askari waliovalia aina ya nguo za wafungwa....

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. wajomba wapo poa

    ReplyDelete
  2. Duuu!

    Majeshi ya Muungano yanatisha kama kifo!!!

    ReplyDelete
  3. Wapinga Muungano habari ndiyo hiyo!

    ReplyDelete
  4. Je mnataka serikali 2 au 3?

    Wanaotaka serikali 3 wanyooshe vodile juu hapa uwanjani halafu maafande watawapitia HUKO MAJUKWAANI mlipo kuwa mmoja baada ya mwingine!

    ReplyDelete
  5. Muungano oyeeee!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...