Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya FNB,Dave Aitken akizungumza na wateja wa benki hiyo wakati wa mkutano kati ya wateja na benki hiyo kujadili kuhusiana na mwelekeo wa uchumi wa kimataifa wa hapa nchini.
Baadhi ya washiriki wakifuatilia maelezo yaliyokuwa yakitolewa na mtoa mada katika mjadala huo.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya FNB Dave Aitken (kushoto) akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Nakuroei Investement Company LTD, Engineer Samwel Mollel.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya FNB Dave Aitken (kushoto) akiwa na baadhi ya washiriki wa mjadala huo ambao wakiwa na zawazi zao walizoshinda katika bahati nasibu iliyochezeshwa baada ya mjadala huo.
Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya FNB wakifuatilia presentation iliyokuwa ikifanywa na Mchambuzi wa Tafiti Nema Ramkhelawan kutoka benki ya FNB, Afrika Kusini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...