Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya FNB,Dave Aitken akizungumza na wateja wa benki hiyo wakati wa mkutano kati ya wateja na benki hiyo kujadili kuhusiana na mwelekeo wa uchumi wa kimataifa wa hapa nchini.
Baadhi ya washiriki wakifuatilia maelezo yaliyokuwa yakitolewa na mtoa mada katika mjadala huo.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya FNB Dave Aitken (kushoto) akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Nakuroei Investement Company LTD, Engineer Samwel Mollel.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya FNB Dave Aitken (kushoto) akiwa na baadhi ya washiriki wa mjadala huo ambao wakiwa na zawazi zao walizoshinda katika bahati nasibu iliyochezeshwa baada ya mjadala huo.
Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya FNB wakifuatilia presentation iliyokuwa ikifanywa na Mchambuzi wa Tafiti Nema Ramkhelawan kutoka benki ya FNB, Afrika Kusini.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...