Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa CRDB Dr. Charles Kimei (kushoto) na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya CRDB Bwn. Martin Mmari kwenye kikao cha makabidhiano ya mchango wa CRDB kwa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani kwa ajili ya sherehe ya miaka 50 ya Muungano itakazoadhimishwa kitaifa Washington, DC April 26, 2014 CRDB kupitia kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ilimkabidhi Mhe. Liberata Mulamula fedha taslimu za Kimarekani dola 5,000 siku ya Ijumaa April 11, 2014. Makabidhiano hayo yalifanyikia Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani.
 Mhe. Liberata Mulamula akisalimiana na Bwn. Saugata Bandyopadhyay CRDB Deputy Managing Director (operations and customer services)
 Mhe. Liberata Mulamula akisalimiana na Bwn. Alex Ngusaru Director of Treasery wa CRDB
 Mhe. Liberata Mulamula akisalimiana na Bi. Tully wenngine katika picha ni Anderson Mlabwa (wapili toka kulia) na Director of Credit wa CRDB Bank na Bwn. Saugata Bandyopadhyay CRDB Deputy Managing Director (operations and customer services)
 Kikako cha makabidhiano kikiendelea.
 Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya CRDB Bwn. Martin Mmari akimkabidhi Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula kitita cha dola 5,000 katika kikao cha makabidhiano kilichofanyika Ubalozi wa Tanzania siku ya ijumaa April 11, 2014.
 Picha ya pamoja
Kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya CRDB Bwn. Martin Mmari, Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe, Liberata Mulamula na Mkurugenzi Mkuu wa CRDB Bank DR. Charles Kimei katika picha ya pamoja.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. mbona huko nyuma kumeandikwa Tanganyika?kweli serikali 3 haziepukiki.

    ReplyDelete
  2. Hiyo Background nzuri, inasema Tanganyika halafu ina bendera yake.

    ReplyDelete
  3. wabunge wa bunge la katiba wanaitafuta Tanganyika Dodoma, kumbe Tanganyika ipo Marekani!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...