Mwanamuziki maarufu hapa nchini Shilole akitumbuiza wanawake katika onesho maalum alilo lifanya katika FAMILIA KITCHEN PART GALA 2014 ambapo zaidi ya wanawake 300 walijumuika katika jukwaa na kuhamasika kushiriki katika zoezi la upimaji afya zao ikiwemo ukimwi na saratani ya shingo ya kizazi.
Mwanamuziki maarufu hapa nchini Shilole akitumbuiza wanawake katika onesho maalum alilo lifanya katika FAMILIA KITCHEN PART GALA 2014 ambapo zaidi ya wanawake 300 walijumuika katika jukwaa na kuhamasika kushiriki katika zoezi la upimaji afya zao ikiwemo ukimwi na saratani ya shingo ya kizazi.
Mwazirishi wa jukwaa la FAMILIA KITCHEN PARTY GALA 2014 bi Vida Mndolwa (katikati) akizungumza jambo na wanawake waliohudhulia jukwaa hilo hawapo pichani (kushoto) ni meneja wa uzazi wa mpango shirika la PSI Tanzania bi Catherine Paul (kulia) aliye kuwa mshehereshaji katika jukwaa hilo.
Baadhi ya wanawake waliojitokeza kwa wingi katika jukwaa la FAMILIA KITCHEN PARTY ambalo limefanyika mjini Dodama katika ukumbi wa kilimani, wanawake zaidi ya 300 walijumuika katika jukwaa na kuhamasika kushiriki katika zoezi la upimaji afya zao ikiwemo ukimwi na saratani ya shingo ya kizazi.
Meneja wa uzazi wa mpango shirika linalojighulisha na masuala ya afya Catherine Mndolwa akihojiwa na waandishi wa habari katika jukwaa la FAMILIA KITCHEN PARTY GALA 2014 lililo fanyika katika ukumbi wa Kilimani mjini Dodoma wanawake zaidi ya 300 walijumuika katika jukwaa na kuhamasika kushiriki katika zoezi la upimaji afya zao ikiwemo ukimwi na saratani ya shingo ya kizazi. PICHA NA IPSHA MEADIA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...